Godbless Lema avamia katika Kituo cha Uandikishaji BVR akidai sheria hazifuatwi!

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,493
54,900
Unga Limited Arusha:Godbless Lema avamia katika kituo cha uandikishaji akidai sheria hazifuatwi.

Ni baada ya kumkuta Polisi akiandikisha majina ya watu.

 
Last edited by a moderator:
Hivi uandikishaji umeshaanza arusha? Mbona kimya kimya hivyo?hadi leo sikasikia kituo chochote kinachoandikisha hapa arusha.
 
Ulikuwepo hapo kituoni? Wewe hukuona makosa yoyote? Je huyo lema aliingia tu hapo kituoni kama kichaa na kuanza kufanya vurugu?hujasoma hapo kuwa alikuwa anapinga polisi kuingilia kazi ya waandikishaji? Au wewe ndiye uliyewapa polisi hayo mamlaka?
Kwani kosagan kuandika majina? lazima ifahamike kuwa hamasa yawatu nikubwa hivyo inapelekea watu kubaki ktk foleni ifikapo saa12:00, Utaratibu unaofuata ni kuwaandika majina walewote walio salia kwadhumuni la kuanzanao siku inayo fuatia, huwezi kuamka usiku na kupanga foleni kutwanzima muda unapokwisha kesho yake upange foleni upya inakuwa sivyema, kwahio sikwakuwa ww mpinzani basi kilajambo upinge kilajambo habari yakukuza ni upuzi mudafulani
 
Sipati picha huyo pongo angefanya upuuzi huo pale Geita mjini,raia wangetenganisha kichwa na kiwiliwili mbona!
 
Safi sana!
Tume hii ya Uchaguzi isipokuwa makini itasababisha damu kumwagika maeneo kadhaa nchi hii uchaguzi wa Oct.2015
 
Mwenye ratiba ya uandikishaji kwa kata za arusha atujuze


Uandikishaji Arusha umeanza kata na mitaa ya pembezoni kama Treat, osunyai, unga ltd sombetini nk. Kata za kaloleni,kijenge,Levolosi,kati,ngarenaro,themi,sekei,nk ni za mwisho ktk mwezi julai.kwa hiyo tulieni matangazo yatapita kila mtaa.
 



Kweli Nchi kila kitu dili.

Mnawaandikisha ili kesho wakija mchukue kitu kidogo siyo?
Ndivyo Magu alivyowaagiza?
Au ndiyo kazi aliyowatuma?

Acheni upuuzi kwenye vitu vya msingi.


Wabunge wote wa UKAWA jifunzeni somo wakati wa Uandikishaji wa BVR mnatakiwa kutembelea vituo vyote kuhakiki zoezi hili linafanyika kwa hakikwenye maeneo yenu.
Mipango michafu huanzia huku kwenye zoezi la uandikishaji wa wapiga kura na hasa wimbi hili la Vijana CCM kwao si nzuri kwa hiyo kuwaacha /kutowaandikisha kwao ni nafuu.

Vyama Vyote ndani ya UKAWA wanatakiwa kulitambua hili.

cc Tumaini Makene
 
Last edited by a moderator:
Hahaha! Unachekesha kweli!! Yaani Lema awachie policcm waandike watu majina halafu kesho asubuhi waje na karatasi yenye majina ya magamba tu. Unawafanya makamanda wa arusha wajinga sana eeeeee!!!??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…