Wasalaam wana JF,
Naomba kwa wazoefu kujulishwa makadirio ya kupaua nyumba kama hii hapa (picha) kwa maeneo ya Kibaha.
Nategemea kuezeka kwa bati sio vigae.
Upana wa nyumba ni kama mita 10 na urefu ni mita 18.
Asante kwa makadirio.
nakushauri kaka tafta ramani yanyumba ndogo ila kali..kwa sasa watu wanajenga nyumba ndogo ila matata,sio jumba kubwa halaf halina usasa na kuwah kuchujuka.