wa pale Kimara wanacharge 150,000/=Tsh kwa saa na wanaanzia masaa matatu na kuendelea, yaani kama una kazi ya saa moja ni lazima ulipie masaa matatu, ,,,,,,,,,,,,,, na charge zao zinaanzia gradder linapotoka hapo ofisini kwao, ,,,,,,,,,,,,,,,, haya kamitu yana Gharama sana