Gharama za kuchimba kisima Dar

Kama mtu anajua gharama za kuchimba kisima Dar, nitashukuru.

ungefafanua ni maeneo gani mkuu ili kama ulipo mtu alichimbiwa maeneo hayo akushtue! gharama za kuchimba zinatofautiana sehemu na sehemu na pia kwa wataalamu wa kuchimba ukitaja ni maeneo gani unaweza kupata makadirio mpaka vipimo nya mita ngapi kwenda chini maeneo hayo! mimi nipo na mtu wangu ukitaka we lete details za maeneo ni ili nikuunge nae. sasa ulivyouliza hapo juu inakuwa tabu kidogo kumpa mtu details akiniuliza wapi nimekwama
 

Nashukuru nimeshapata msaada.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…