meningitis JF-Expert Member Joined Nov 17, 2010 Posts 8,464 Reaction score 4,828 Apr 21, 2015 #1 Kwa wenye uelewa hebu tuwekee gharama ya kutengeneza dawati moja kwa kutumia mbao za mninga. Hii itatusaidia kujua kiwango halisi cha fedha za michango ya madawati.
Kwa wenye uelewa hebu tuwekee gharama ya kutengeneza dawati moja kwa kutumia mbao za mninga. Hii itatusaidia kujua kiwango halisi cha fedha za michango ya madawati.
maroon7 JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 11,341 Reaction score 15,829 Apr 21, 2015 #2 meningitis said: Kwa wenye uelewa hebu tuwekee gharama ya kutengeneza dawati moja kwa kutumia mbao za mninga. Hii itatusaidia kujua kiwango halisi cha fedha za michango ya madawati. Click to expand... Na pia itatusaidia kujua jinsi gani hii serikali ilivyo-kubwa jinga kwa watoto kuendelea kukaa chini hadi leo hii
meningitis said: Kwa wenye uelewa hebu tuwekee gharama ya kutengeneza dawati moja kwa kutumia mbao za mninga. Hii itatusaidia kujua kiwango halisi cha fedha za michango ya madawati. Click to expand... Na pia itatusaidia kujua jinsi gani hii serikali ilivyo-kubwa jinga kwa watoto kuendelea kukaa chini hadi leo hii
Horseshoe Arch JF-Expert Member Joined Aug 10, 2009 Posts 13,402 Reaction score 12,787 Apr 21, 2015 #3 meningitis said: Kwa wenye uelewa hebu tuwekee gharama ya kutengeneza dawati moja kwa kutumia mbao za mninga. Hii itatusaidia kujua kiwango halisi cha fedha za michango ya madawati. Click to expand... Ikiwa unajua muundo halisi wa dawati husika na idadi ya mbao,misumari,polish na ufundi untakokotoa tu kirahisi!
meningitis said: Kwa wenye uelewa hebu tuwekee gharama ya kutengeneza dawati moja kwa kutumia mbao za mninga. Hii itatusaidia kujua kiwango halisi cha fedha za michango ya madawati. Click to expand... Ikiwa unajua muundo halisi wa dawati husika na idadi ya mbao,misumari,polish na ufundi untakokotoa tu kirahisi!
The Bleiz JF-Expert Member Joined Jan 7, 2012 Posts 5,125 Reaction score 13,743 Apr 21, 2015 #4 La mbao au yale ya chuma? Au kiti na meza yake?
meningitis JF-Expert Member Joined Nov 17, 2010 Posts 8,464 Reaction score 4,828 Apr 21, 2015 Thread starter #5 The Bleiz said: La mbao au yale ya chuma? Au kiti na meza yake? Click to expand... La mbao lililojiunga na kiti mkuu
The Bleiz said: La mbao au yale ya chuma? Au kiti na meza yake? Click to expand... La mbao lililojiunga na kiti mkuu
meningitis JF-Expert Member Joined Nov 17, 2010 Posts 8,464 Reaction score 4,828 Apr 21, 2015 Thread starter #6 Horseshoe Arch said: Ikiwa unajua muundo halisi wa dawati husika na idadi ya mbao,misumari,polish na ufundi untakokotoa tu kirahisi! Click to expand... Mkuu yale yanayotumika katika shule za msingi za umma
Horseshoe Arch said: Ikiwa unajua muundo halisi wa dawati husika na idadi ya mbao,misumari,polish na ufundi untakokotoa tu kirahisi! Click to expand... Mkuu yale yanayotumika katika shule za msingi za umma
jumawaziri Member Joined Aug 11, 2014 Posts 20 Reaction score 6 Apr 22, 2015 #7 Dawati moja tsh, 80'000/=
O Omwami Nshomile Senior Member Joined Jan 26, 2015 Posts 132 Reaction score 28 Apr 22, 2015 #8 Mbao za mninga zimekatazwa na maafsi misitu. Ukikamatwa na dawati lilitengenezwa kwa mbao za mninga utafungwa tu.
Mbao za mninga zimekatazwa na maafsi misitu. Ukikamatwa na dawati lilitengenezwa kwa mbao za mninga utafungwa tu.
jembe afrika JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 7,602 Reaction score 3,781 Apr 22, 2015 #9 Na ukishatengeneza kuna gharama ya kulibeba mpaka shule
Mwana JF-Expert Member Joined Aug 6, 2010 Posts 5,435 Reaction score 1,967 Apr 23, 2015 #10 Haiingii akilini kuwa mpaka leo hii watoto wana kaa chini.