Mtu mwenye uhakika na swala hili atoe taarifa haraka. Namba za simu zimetolewa ktk thread moja.
Plz play your part.
wewe uliyeleta hizi habari, tunakuomba sana wasiliana na aliyekupa taarifa hii ili akupe uhakika zaidi na kisha uweze kutumia moja ya simu hizo kuwajulisha wahusika.
Asante sana na tuko wote