M Mparanyanga Member Joined May 20, 2010 Posts 28 Reaction score 5 Apr 1, 2014 #1 Habari zenu wana JF, samahani naombeni msaada ni wapi naweza pata gas ya BP kwa hapa dar es salaam? mimi naishi tegeta, kwa anayejua tafadhali anisaidie. bless you
Habari zenu wana JF, samahani naombeni msaada ni wapi naweza pata gas ya BP kwa hapa dar es salaam? mimi naishi tegeta, kwa anayejua tafadhali anisaidie. bless you
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,799 Apr 1, 2014 #2 Mkuu kwa sasa hivi BP hawapo tena Tanzania. Labda kwa msaada jaribu kupitia petrol station za Puma wana weza kukupa majibu
Mkuu kwa sasa hivi BP hawapo tena Tanzania. Labda kwa msaada jaribu kupitia petrol station za Puma wana weza kukupa majibu
M Mparanyanga Member Joined May 20, 2010 Posts 28 Reaction score 5 Apr 2, 2014 Thread starter #3 asante, nilapata pale tangi bovu karibu na petrol station ya oilcom, wanauza gas za aina zote ingawa wamesema bp soon haitakuwepo kabisa.
asante, nilapata pale tangi bovu karibu na petrol station ya oilcom, wanauza gas za aina zote ingawa wamesema bp soon haitakuwepo kabisa.