Gari Suzuki Omni inauzwa!

Gari Suzuki Omni inauzwa!

mmasai halisi

Member
Joined
Apr 9, 2014
Posts
55
Reaction score
12
Wakuu habari ya asubuhi? Nina kagari kangu Suzuki Omni ya 2010, ina km 53,000 namba BRS inauzwa bei 6,000,000/= ipo kwenye hali nzuri anayehitaji anipm.
 

Attachments

  • 1403340074116.jpg
    1403340074116.jpg
    58.3 KB · Views: 334
picha za ndani mkuu and more specification na kwa nini unakauza?

Picha za ndani nitaatach kesho kwani nipo mkoani na gari ipo dar, Sababu ya kuuza ni kwamba niliinunua kwa ajili ya biashara kwani mkoa nilipokuwa kulikuwa hakuna magari ya kutosha sasa Sumatra wamevikataa kuvisajili so hakuna njia zaidi ya kuuza. Engine ni nzima unaweza kwenda popote Tanzania bila ya tatizo lolote.
 
Jamani kutokuwa na hela huku noma sana. Hapo najua mmasai angeniuzia hadi kwa mil 4 na nusu da!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom