Gari la chama(Je tutafika)

Msafara utaendelea japo kujikwaa.. ndiyo mwanzo wa changamoto!!! God bless Tanzania...
 
Ni picha tosha kuwa wakishika madaraka lazma kwanza wajaze matumbo na kujiwekeza kichama......... Kuna umuhimu wa kuibadili katiba kuhusu uwezo wa wagombea kiuchumi. Kama wafanyavyo America
 
Ni picha tosha kuwa wakishika madaraka lazma kwanza wajaze matumbo na kujiwekeza kichama......... Kuna umuhimu wa kuibadili katiba kuhusu uwezo wa wagombea kiuchumi. Kama wafanyavyo America

Hawa jamaa ni ccj part 2
 
Ni bora SHETANI unayemjua kuliko MALAIKA usiyemjua. Hi chama ninaamini kimejaa malaika tusiowajua subirini mziki wake sera zao ni unafiki fitina na kulipa visasi mtaona tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…