Gari IST inauzwa

Gari IST inauzwa

thatone

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2019
Posts
365
Reaction score
196
Habari jf
Nauza gari aina ya IST BEI 10.8M..gari ipo Upanga. Zifuatazo ni sifa zake
Plate namba DDP
MILEAGE 69152
COLOUR -GREY
IMENUNULIWA 2015
DUTY INAISHIA 2020
CC 1200
06843 108 66

IMG-20191007-WA0031.jpeg
IMG-20191007-WA0030.jpeg
IMG-20191007-WA0029.jpeg
 
Showroom amenunua Wiki iliyopita mtu wa karibu Kwa milion 11.5 ya mwaka 2006..yeye gari ina miaka minne anauza bei iyo,, mmh
GARI kununuliwa 2015 siyo ndo imetumika muda mwng ipo tu kwa sababu ya safari za nje
 
Showroom amenunua Wiki iliyopita mtu wa karibu Kwa milion 11.5 ya mwaka 2006..yeye gari ina miaka minne anauza bei iyo,, mmh
Na pia unaweza kununua showroom lakini mileage ikawa 100000 na kitu
 
GARI kununuliwa 2015 siyo ndo imetumika muda mwng ipo tu kwa sababu ya safari za nje
Gari kama utainunua leo na kuisajili tu then ukaenda kuifungia ndani kwa miaka minne siku ukiitoa huwezi kuuza kwa bei uliyonunulia kwa sababu zinashuka thamani kulingana na muda iliyosajiliwa. Kwa kiswahili inaitwa depreciation. Kama ni gari yako mwenyewe basi uza hata kwa 7m kama ni dalali basi hata 16m uza maana wajinga hawaishi.
 
Sasa umekua unasafiri nje kwani ulinunua brand new au used?

Hapa bongo namba inauza/inaua soko, ingekua DRA hivo huko sawa hata m12 unauza
 
Na pia unaweza kununua showroom lakini mileage ikawa 100000 na kitu
haijafika huko mileage , alienunua ni mdogo wangu nami nilikuwepo,showroom ya pale karibu na kituo cha police osterbay, imetoka na namba DRC
 
Gari kama utainunua leo na kuisajili tu then ukaenda kuifungia ndani kwa miaka minne siku ukiitoa huwezi kuuza kwa bei uliyonunulia kwa sababu zinashuka thamani kulingana na muda iliyosajiliwa. Kwa kiswahili inaitwa depreciation. Kama ni gari yako mwenyewe basi uza hata kwa 7m kama ni dalali basi hata 16m uza maana wajinga hawaishi.
Gari ukiinua hata saa hivi hapo showroom kwa mil 10 ukitoka nayo tu hapo nje ya geti la hio showroom ukasema unaiuza nakwambia utaiuza kwa mil 9.5,depreciation is real.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom