Gari inauzwa

Bei inaonekana ni kubwa kidogo kulingana na aina ya gari na condition yake.
 
Hahahahaha ngastuka machale kundesa.Naona kama kopo.
 
Hii hapana unaweza kuleta ugonjwa nyumbani
 
Hivi kila gari lazima uuze? Gawa bure hilo, htalaumiana na watu tu
 
Si useme unauza body ya gari tu ungeeleweka mapema
 
Sasa mbona kama imetupwa kwenye kichaka kizito
 
Hii hapana unaweza kuleta ugonjwa nyumbani

Mkuu, hayo magari ni magumu usiombe. Mi ninalo tangu 2005 wakati nasoma chuo ndio nilikuwa nalitumia lipo hadi leo ni kuweka betri tu unaenda hata Misri ila mi siliuzi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…