Chotti de Alba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 348
- 106
Gari aina ya Mark II inauzwa iko katika hali nzuri sana na bei ni mil 5.5 na maelewano yapo.
Kwa mawasiliano zaidi 0754 771 937
Karibuni
Kwa mawasiliano zaidi 0754 771 937
Karibuni
Weka picha
Bei maelewano inapungua. tunafanya consideration
Tumekustukia, yaani hapo mtaani kwenu koote hakuna wa kukusaidia ku upload picha, hata kazini, hata bar ya jirani. Fugia kuku mkweche wako maana huna ushirikiano
Bei ya iyo baloon ni 3 Mil. Hata kwa 2.5 unaachiwa.
Mi ninayo Toyota Duet namba BMQ Syrinder tatu ENGINE EJ-VE naiuza kwa Sh 2.5mil haipungui na ulaji wake wa mafuta imetofautiana kidogo sana na ule wa pikipiki sanlg mpya yaan inanusa tu kwa mawasiliano nipigie 0657304270 nipo masasi
Nina uhakika ni mark 2 Gx90. Haina Airbags wala ABS. Kuna baloon ipo namba A. AC yake bado inafanya kazi. Engine 1G kavu.
Mi ninayo Toyota Duet namba BMQ Syrinder tatu ENGINE EJ-VE naiuza kwa Sh 2.5mil haipungui na ulaji wake wa mafuta imetofautiana kidogo sana na ule wa pikipiki sanlg mpya yaan inanusa tu kwa mawasiliano nipigie 0657304270 nipo masasi
Bei ya iyo baloon ni 3 Mil. Hata kwa 2.5 unaachiwa.
Habari Bila Picha Ni Sawa Na Mwanamke Bila Shanga.