GARI INAHIJAJIKA HARAKA SANA

karibukwetusingida

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
290
Reaction score
138
Mwenye gari aina ya toyota kluger au Toyota harrier namba yoyote ilimradi gari iwe katika hali nzuri,bajeti yangu ni 9m,nipo nzega,ila hata km iko dar naweza kufika tu na kuicheki.
 
Njoo dar utaipata , siku hizi Gari bwerere watu wanauza wengi kuliko wanaotafuta.
 
Gari zipo tatizo bei yako

OvA
 
Zipo harrier moja 10m na nyingine 15m.
Gharama ya transfer ni yako.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…