Note 1 mpya?? Nami nauza nyimbp mpya kabisa za Mbaraka Mwishehe
Note 1 mpya?? Nami nauza nyimbp mpya kabisa za Mbaraka Mwishehe
Unaulizia bei haujaiona simu,kama unahitaj nipm
yaani ukiweza kufuata taratibu jf ni bonge la soko ila ukianza habari za kuwa descriptive na tantalila nyingi utazinguliwa hadi basi.
Ni taratibu zipi basi? weka picha halisi ya bidhaa, specs ukiweka si mbaya itasaidia kuvuta watu, bei kuwa muwazi if possible state hata kwenye heading.
mie niliuza Sony Xperia Z withini hours kwa kufuata hizo procedure na uzi wangu hata haukuwa na chembe ya mzinguo.
Nb. huoni ushauri tu wa bure.
yaani ukiweza kufuata taratibu jf ni bonge la soko ila ukianza habari za kuwa descriptive na tantalila nyingi utazinguliwa hadi basi.
Ni taratibu zipi basi? weka picha halisi ya bidhaa, specs ukiweka si mbaya itasaidia kuvuta watu, bei kuwa muwazi if possible state hata kwenye heading.
mie niliuza Sony Xperia Z withini hours kwa kufuata hizo procedure na uzi wangu hata haukuwa na chembe ya mzinguo.
Nb. huoni ushauri tu wa bure.
kweli ukiona mtu anasuasua kuweka details, basi hana uhakika na biashara yake....[/QUOTE
Details gan unazohitaj wakat nshaandika aina ya simu?kwan umeshindwa kugoogle
kwani jina na model inatosha??
Hata ukisema ni Mpya bado tuu Real Image ni muhimu. kwani hujui hata Rangi yake ni muhimu? au unataka kuniuzia simu ya Pink?
sasa ulikuwa unavunga nn kuweka beiBei 440k