1.Nawashukuru walionieleza hizo sehemu,Asanteni sana.
2.Wewe jile79 nadhani ni saa 1 kasorobo,Holiday Inn iko azikiwe, unasema haiko Azikiwe-hebu tueleze panaitwaje pale?
3.Mimi nimesema wanatoka uarabuni,wewe jile79 unazungumzia mambo ya Mombasa -wapi na wapi,Geography unayo kweli?Au ni maumivu au raha uliyonayo kama uliwahi kufutu.....Kama si hivyo basi KAjile.
Nawakilisha!