Ungekua unaweka na bei mkuu
SAFI UZI MZURI ILA GURIO LILIPASWA KUWA NA BEI SIO MPAKA KUTAFUTANA NDO KUJUA BEI
Sofa bedKaribu katika Uzi huu maalumu kwaajiri ya biashara ya furniture .....
Nitakua nauza furniture mbalimbali kama sofa,dinning table ,vitanda ,kitchen cabinets ,sambamba na makabati bei ya mnada (rafiki kwa mtanzania)
Tembelea uzi huu ili kupata mahitaji kwaajiri ya nyumba yako au ofisi
Bei zetu ni rafiki kwa kila mtanzania wa kipato cha kawaidaView attachment 1236573View attachment 1236574View attachment 1236575View attachment 1236579View attachment 1236581View attachment 1236583View attachment 1236584View attachment 1236586
Wapi kasema ml10?Yani sofa milioni kumi, si Bora ninunue IST niwe nakaa humo humo ndani
Dinning table yenye viti 6.
Ndo hivyo tu mkuu??weka bidhaa nyingi zaidi basi
Kitchen cabinetsKaribu katika uzi huu maalum kwa ajili ya biashara ya furniture...
Nitakuwa nauza furniture mbalimbali kama sofa, dinning table, vitanda, kitchen cabinets sambamba na makabati bei ya mnada (rafiki kwa mtanzania)
Tembelea uzi huu ili kupata mahitaji kwa ajili ya nyumba au ofisi yako
Bei zetu ni rafiki kwa kila mtanzania wa kipato cha kawaida
View attachment 1236573View attachment 1236574View attachment 1236575View attachment 1236579View attachment 1236581View attachment 1236583View attachment 1236584View attachment 1236586
Dinning table IPO tayar1.5 mil
Dinning table Viti 8
Mninga
sofa bed ikiwa na side lamps pamoja na kile kistuli kirefu cha pembeni ni sh ngapi?
Hiyo bei pamoja na Godoro?