Diagnosis unafanya shiling ngap?
Nina gari pickup liteace ya diesel juzi dogo nilimpa akaweka mafuta ya kidebe badae akaanza kusikia muungurumo kama wa trekta na taa ya check engine ikawaka. Akanipgia simu ikabidi nimuite nilipo tukamwaga mafuta yote tukanda petrol station tukaweka mafuta nusu tank tukanunua diesel treatment lakini tatzo bado lipo.
Nipe mwangozo cha kufanya