OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,382
- 104,502
Mechi saa 1 usikuView attachment 2696074
View attachment 2696075
Uwanja bado ni mweupe ndugu msikilizaji. Tuendelee kusubiri, tuwe na subira
Hapa hapa JF, itakuijia mechi ya kirafiki kati ya Yanga na Kaizer Chiefs mishale ya saa moja usiku.
Hakuna kukimbia
kabsa, hauhusiki na huo mdororo, hivi ni mdororo au mdondoko??Naomba nisihusishwe na mdororo unaoendelea
leta ukweli umuumbue sasa!Huu uzi unasindikizwa na uongo mkubwa sana asee..!
Mkuu nakupongeza kwa kufanya jambo la kishujaa kutupa update... hii ni baada ndugu wa marehemu kuamua kususia msiba, ... wacha majirani tu take overNaomba nisihusishwe na mdororo unaoendelea
Aibu naona mimiAloo kumbe leo ndio siku ya wananchi?
Ngoja tuone...Aisee, sasa itakuwaje.
Acha dhambi za kizembeHuu uzi unasindikizwa na uongo mkubwa sana asee..! 😢
Mwingine anataka kuniaminisha na hii wakiwa nje!.
View attachment 2696084