Haya yalishawahi kutokea miaka ya kina Henry hivyo halitakuwa jambo jipya. Timu zitakazopata sare kwa arsenal ni man city na tottenham wengine wote watafungwa.
Haya yalishawahi kutokea miaka ya kina Henry hivyo halitakuwa jambo jipya. Timu zitakazopata sare kwa arsenal ni man city na tottenham wengine wote watafungwa.
Timu imerejea.. GJ ndio Henry, Martinelli ndio bergcamp, Saka ndio Pires, Partey ndio Vieira, Saliba ndio Campbell, Odegaard ndio Gilberto na Magalhanes ndio Lauren.