Tumecheza na wa 200 kwa UBORA vipi wewe ulifika wapi kombe la shirikisho na klabu bingwa? Wenzako wamecheza fainali kombe la shirikisho msimu juzi, wakarudi msimu jana wakacheza robo fainali klabu bingwa na kutolewa kwa figisu na mamelod na wewe ilikuwa wapi mda huo? Yanga Kila timu atayocheza nayo itaonekana mbovu kulingana na daraja aliloliweka kwa sasa, ngoja tuone mtafika wapi kwenye ilo kombe la looser msimu huu