Hata msimu huu utopolo wabovu Tu..subiri ligi iingie mwezi mpevu uone..yanga wala usiwe na mashaka nao maana Wana Tabia ya kuwaka km kifuu kisha wanakata Moto mzunguko wa pili
Tatizo ni ile ahadi ya mkuu wa mkoa wao ambae ni mwanachama mtiifu wa wananchi... Nafikiri kuna mengi sana nyuma ya hizi ahadi kama ile iliyotolewa na RC wa mara kwa biashara!
Hata msimu huu utopolo wabovu Tu..subiri ligi iingie mwezi mpevu uone..yanga wala usiwe na mashaka nao maana Wana Tabia ya kuwaka km kifuu kisha wanakata Moto mzunguko wa pili