nathanluke Member Joined Mar 23, 2016 Posts 6 Reaction score 0 May 6, 2016 #1 Hivi foundation course ikoje na je kama mtu akisoma degree kwa kupitia hii anakuwa na thamani sawa na aliyepitia kidato cha sita
Hivi foundation course ikoje na je kama mtu akisoma degree kwa kupitia hii anakuwa na thamani sawa na aliyepitia kidato cha sita
S Siku za ajabu JF-Expert Member Joined Dec 23, 2012 Posts 1,369 Reaction score 987 May 7, 2016 #2 Anakuwa sawa hyo ni course ya kukuandaa kusoma dgree Kwa kukosa vigezo pale open universty
Dr.adams faida JF-Expert Member Joined Mar 11, 2013 Posts 1,913 Reaction score 3,450 May 7, 2016 #3 Mara nyingi huwa kuanzia wiki tatu mpaka mwaka mzima inategemea na course unayosoma baada ya hapo utafanya mtihani wa mwisho ukifaulu unaanza rasmi masomo ya course husika...
Mara nyingi huwa kuanzia wiki tatu mpaka mwaka mzima inategemea na course unayosoma baada ya hapo utafanya mtihani wa mwisho ukifaulu unaanza rasmi masomo ya course husika...
S Siku za ajabu JF-Expert Member Joined Dec 23, 2012 Posts 1,369 Reaction score 987 May 7, 2016 #4 Mimi ninesoma hyo cjawah onana Na mwalimu Na nimefaulu
nathanluke Member Joined Mar 23, 2016 Posts 6 Reaction score 0 May 16, 2016 Thread starter #5 Asante wadau,JF inatupa shule bure