Egyps-women
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 498
- 106
Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?
Je michango yako katika jukwaa la mapenzi na mapendo (mzee hasikii wivu)
Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda …ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....
Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?
Je michango yako katika jukwaa la mapenzi na mapendo (mzee hasikii wivu)
I love you FL1
**********
wat for my dear??? (samahani kama ntakukwaza pia)
itifaki
Umeanza kwa samahani malizia kwa samahani sidhani kutaka kujua private issues za mtu ni kitu kizuri, sorry kama nitakuwa nimekukwaza.Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....
Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?
Je michango yako katika jukwaa la mapenzi na mapendo (mzee hasikii wivu)
I love you FL1
**********
Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....
Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?
Je michango yako katika jukwaa la mapenzi na mapendo (mzee hasikii wivu)
I love you FL1
**********
Kwa mjanja yoyote atauona woga wako hapo!Oooops Egyps-women nasikia kizunguzungu umenishitua mpendwa nakupenda pia !!
wewe ni Bro or Sissy?
imezingatiwa au lah hasha??
Jibu hoja mama. Ye kasema anakuuliza kwa niaba yetu.Kuna haja ya mie kujibu hayo maswali ya huyu EW jamani hebu kuweni fair wana JF
Ni kweli anawawakilisha nyie ??? naomba kura ya VETO IPIGWE
jiulize sana dadaangu!Kuna haja ya mie kujibu hayo maswali ya huyu EW jamani hebu kuweni fair wana JF
Ni kweli anawawakilisha nyie ??? naomba kura ya VETO IPIGWE