Fixing unit IR 2800/ 3300

Mc Poul

Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
14
Reaction score
0
HAbari wanajukwaa, ninaomba nisaidiwe fixing unit ya Canon IR 2800/ 3300, yangu imekufa subthermistor.
 
Daah, hiyo kitu inasumbuaga sana kupatikana, jaribu kuwasiliana na mafundi dar mkuu (ingawa sijui we uko wapi). Sidhani kama unaweza ipata dukani, mafundi wanachukuaga kwenye mashine zilizokufa, ila bei ndo balaa.

Ukikosa kabisa tuwasiliane, ila uwe na subira kwani inahitaji muda wa kati ya wiki 2 hadi 3
 
Sina ujuzi sana na mambo ya photocopier ila kuna duka nimepiga simu wanasema kifaa unachotafuta kinauzwa tsh 90,000/original
 
Sina ujuzi sana na mambo ya photocopier ila kuna duka nimepiga simu wanasema kifaa unachotafuta kinauzwa tsh 90,000/original

Hii itakuwa very reasonable price manake mafundi wengi wanagonga kuanzia moja na nusu kwenda juu!
 
Hii itakuwa very reasonable price manake mafundi wengi wanagonga kuanzia moja na nusu kwenda juu!

Bei yake kwa jumla dubai ni tsh 48,000/ ndivyo wanavyonunua sasa ukiweka na mambo mengine plus profit ndio maana wanauza hivyo
 
Duka gani wanauza bei hyo mkuu ili niweze pata?



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…