Filikunjombe na ITV kunani?

Akiwa kampala alikuwa reporter wa itv,baadae akaajiriwa na jeshi la polisi na baadae world vision na baadae kufungua ofisi yake.Hivo si vibaya wakimripoti vema.Lakin pia hivi kama mtu figure kafariki,kuna shida akiandikwa sana au kuripotiwa sana?tuwe wazalendo jamani
 

....upo kati ya kundi mojawapo hapa (Mal.fa na Wap.mbaf)
 
Hata mimi naona hilo, manake Machache na ayitivi watakuwa na makombola ya kudungua chopa na kuinguza beyond recognition kuliko uhururu na chama mama pipi ndundu ziiii na gavame ment ya kukaya.
 

Mbona uzi ni wa kitambo sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…