Sambusa kavu
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 811
- 1,311
Awali ya yote nikiri kabisa mi ni shabiki kindakindaki na mpenzi mkubwa mno wa burudani...nikiwa kama mpenda burudani ntakuwa mnafiki endapo sitasifia tamasha la fiesta linalofanyikaga kila mwaka nchini kwetu..
Mpaka sasa kwa mwaka huu tamasha hili limeshafanyika takribani mikoa mingi na sasa ni zamu ya Daresalaam ikiwa kama hitimisho...
Ila kwa mwaka huu Fiesta 2016 tamasha la Daresalaam naona kama limeshabuma kabla hata ya iyo jumamosi haijafika...nasema tena fiesta 2016 dar limebumaaaaaaaaa kwa sababu zifuatazo:
1.Tangu tamasha hili lianzishwe,ikifika kilele chake ambacho uwa ni show ya mwisho inayofanyika Dar lazima msanii mkubwa kutoka Marekani atue bongo...mwaka huuu HAKUNA!!!!!!!!tulitegemea labda mwaka huu tumuone Jay Z,Rihanna, Drake,Beyonce,au hata Chriss Brown basi (tena alifika mpaka mombasa hapo) lakini waaaaapi!!!!!
leo hii nitoe 20K nikamuangalie Tekno kweli??? huyu jamaa hapa Tz si ameshakuja kama mara 7 hivi....kwanza tekno hana utofauti na Nuhu mziwanda... Au yule Yemi Alade kwani ana tofauti gani na Shilole????!!! Fiesta Dar bila msanii wa Marekani imebumaaaaaaaa!!!!!!
2.Japo si makosa yao ila still naamini bado lilikuwa lipo ndani ya uwezo wao...yees ni Diamond Platinumz!!!! Inawezekana ikawa ni gundu la pili kwa Fiesta mwaka huu kumkosa huyu mtu pia!!!! hapa napo Fiesta 2016 imebumaaaaaaaaa!!!!!!(niishie hapahapa maana nikiandika sana hapa ntaonekana ni member wa timu fulani)
3.Wasanii wa Tz wooote waliosajiliwa nao ni jipu lingine!!!!!!! Hili ni kosa la wasanii wenyewe maana show zao zote ni very predictable...yaaan inajulikana kabisa msanii fulani ataingia na nyimbo gani atacheza vipi,ataweka vikolombwezo vipi na atamaliza na nyimbo ipi....hii ni mbaya sana maana mashabiki tunawachoka mapema wasanii hawa...Binafsi mwaka huu nimeshashiriki kwenye fiesta ya Mwanza,Shinyanga,Kahama,Bukoba na Dodoma..and trust me...yaaan ni kama copy and paste ya performance ya wasanii wote....walichofanya Mwanza ndicho icho walichofanya Kahama,ndicho icho icho walichofanya Dodoma,na ndicho icho icho walichofanya mikoa mingine na Dar pia watafanya icho icho.....Hapa napo imebumaaaaaaaaaaaa!!!!!
N.B. tunawatakia kila la kheri katika tamasha hili na naamini watu wa Dar wataenjoy pia bila msanii wa Marekani maana mziki wao pendwa wa Kisingeli utakuwepo.!!!!!!
Wasanii wa bongo wajifunze ubunifu hasa pale wanapopata show au tour za mikoa mbali mbali ...wasikariri kufanya show ya aina moja tuuu...nilitegemea Mr Blu alieperform mwanza awe tofauti kabisa Mr Blu alie perform Dodoma,na awe tofauti kabisa na Mr blu alieperform mikoa mingine na awe tofauti pia na Mr Blu atakaeperform Dar....(ila kwa sasa wasanii wetu wa bongo sahau icho kitu,ni kilekile tuuuuu....yaaaan inafahamika kabisa akitoka kuimba Darasa ndo atapanda Mr Blu...kama kasheria vileeee)
Mpaka sasa kwa mwaka huu tamasha hili limeshafanyika takribani mikoa mingi na sasa ni zamu ya Daresalaam ikiwa kama hitimisho...
Ila kwa mwaka huu Fiesta 2016 tamasha la Daresalaam naona kama limeshabuma kabla hata ya iyo jumamosi haijafika...nasema tena fiesta 2016 dar limebumaaaaaaaaa kwa sababu zifuatazo:
1.Tangu tamasha hili lianzishwe,ikifika kilele chake ambacho uwa ni show ya mwisho inayofanyika Dar lazima msanii mkubwa kutoka Marekani atue bongo...mwaka huuu HAKUNA!!!!!!!!tulitegemea labda mwaka huu tumuone Jay Z,Rihanna, Drake,Beyonce,au hata Chriss Brown basi (tena alifika mpaka mombasa hapo) lakini waaaaapi!!!!!
leo hii nitoe 20K nikamuangalie Tekno kweli??? huyu jamaa hapa Tz si ameshakuja kama mara 7 hivi....kwanza tekno hana utofauti na Nuhu mziwanda... Au yule Yemi Alade kwani ana tofauti gani na Shilole????!!! Fiesta Dar bila msanii wa Marekani imebumaaaaaaaa!!!!!!
2.Japo si makosa yao ila still naamini bado lilikuwa lipo ndani ya uwezo wao...yees ni Diamond Platinumz!!!! Inawezekana ikawa ni gundu la pili kwa Fiesta mwaka huu kumkosa huyu mtu pia!!!! hapa napo Fiesta 2016 imebumaaaaaaaaa!!!!!!(niishie hapahapa maana nikiandika sana hapa ntaonekana ni member wa timu fulani)
3.Wasanii wa Tz wooote waliosajiliwa nao ni jipu lingine!!!!!!! Hili ni kosa la wasanii wenyewe maana show zao zote ni very predictable...yaaan inajulikana kabisa msanii fulani ataingia na nyimbo gani atacheza vipi,ataweka vikolombwezo vipi na atamaliza na nyimbo ipi....hii ni mbaya sana maana mashabiki tunawachoka mapema wasanii hawa...Binafsi mwaka huu nimeshashiriki kwenye fiesta ya Mwanza,Shinyanga,Kahama,Bukoba na Dodoma..and trust me...yaaan ni kama copy and paste ya performance ya wasanii wote....walichofanya Mwanza ndicho icho walichofanya Kahama,ndicho icho icho walichofanya Dodoma,na ndicho icho icho walichofanya mikoa mingine na Dar pia watafanya icho icho.....Hapa napo imebumaaaaaaaaaaaa!!!!!
N.B. tunawatakia kila la kheri katika tamasha hili na naamini watu wa Dar wataenjoy pia bila msanii wa Marekani maana mziki wao pendwa wa Kisingeli utakuwepo.!!!!!!
Wasanii wa bongo wajifunze ubunifu hasa pale wanapopata show au tour za mikoa mbali mbali ...wasikariri kufanya show ya aina moja tuuu...nilitegemea Mr Blu alieperform mwanza awe tofauti kabisa Mr Blu alie perform Dodoma,na awe tofauti kabisa na Mr blu alieperform mikoa mingine na awe tofauti pia na Mr Blu atakaeperform Dar....(ila kwa sasa wasanii wetu wa bongo sahau icho kitu,ni kilekile tuuuuu....yaaaan inafahamika kabisa akitoka kuimba Darasa ndo atapanda Mr Blu...kama kasheria vileeee)