Huwezi Leta Mada inayohusu mtandao wa Serikali tena unaohusu pesa, unataka mtandao udukuliwe? Kutaja udhaifu Ni kutoa mwanya Kwa wale wasio na nia njema wapi wanaweza kufikia
Uzoefu na Changamoto zinatatuliwa kwenye semina elekezi
Huwezi Leta Mada inayohusu mtandao wa Serikali tena unaohusu pesa, unataka mtandao udukuliwe? Kutaja udhaifu Ni kutoa mwanya Kwa wale wasio na nia njema wapi wanaweza kufikia
Uzoefu na Changamoto zinatatuliwa kwenye semina elekezi
Huwezi Leta Mada inayohusu mtandao wa Serikali tena unaohusu pesa, unataka mtandao udukuliwe? Kutaja udhaifu Ni kutoa mwanya Kwa wale wasio na nia njema wapi wanaweza kufikia
Uzoefu na Changamoto zinatatuliwa kwenye semina elekezi
Semina elekezi hazijatolewa kabisa kwa wahasibu wa taasisi nyingi hasa hospital, shule za secondary na msingi. Ndugu kuna watu hawajui hata kupokea fedha au kufanya malipo mtandaoni achilia mbali kufanya recincilliation wengine wamo humu.
Sisi tunaojuajua wanatusumbua sana.
Naamini kwa mambo madogo madogo km hayo wala hayana shida, yanayohitaji authority yanajulikana, na walioandaa system hiyo sio mafala kuruhusu watu huforge au huhack kirahisi hivyo.