Wapendwa wana JF,
Kama mtakumbuka NM-Institute of Science and Technology walimwaga nafasi nyingi sana za kazi na deadline yao ilikuwa 31st dec, 2011 . Plse naomba kama kuna mtu yeyote yule ambaye anaweza kutupatia uptodates za huko kujua nini kinaendelea aweze kutufahamisha.
Mimi ni mmoja wa applicants so I am so curious to know whats going on!
@Saweboy