Si kweli. fastjet wako cheap sana ukilinganisha na Mashirika mengine ya ndege nchini kikubwa ni kufanya bookinng yako mapema ni kweli unaweza ukawa hukupata nauli ya elfu 32,000 kwa mwezi wa kwanza lakini kama unakumbuka mwezi Novemba fastjet walikuwa na punguzo kubwa la bei ambapo waliuza tiketi kwa bei ya tsh 32,000 tiketi hi9zo walitakiwa wazisafirie mwezi wa kwanza hadi wa tatu sasa nadhani unaweza kuona kuwa kuna wateja walinunua tiketi kwa bei hiyo ya 32,000 siku nyingi na wanazitumia sasa. Jitahidi kufanya booking maema na utapata nauli ya bei ya chini.