Kama magazeti ya Jitambue na Mshahuri Wako pamoja na Vitabu kv.Maisha na Mafanikio,nk ya marehemu Munga Tehnan vilibadirisha maisha yako ni wakati sasa wa kuungana pamoja.
Najua wengi mpo humu JF,ni rahisi sana kumtambua mwana utambuzi,naomba tuwasiliane. Asanteni.[/QUOTE
WEKA MAWASILIANO YAKO HAPA WAZI HII SIO SIRI!
lengo ni kutafuta jukwaa la kutuunganisha,najua umoja ni nguvu...binafsi baada ya kupotea kwa yale magazeti bila shaka kutokana na kifo cha Munga niliendele kutafuta machapicho yenye mwelekeo huo,yapo mengi hasa kwenye mtandao...nadhani pia wengine walifuata mwelekeo kama wa kwangu. Je,tukiunganisha maarifa yote pamoja hamuoni tutasonga mbele? Kuanzisha gazeti inahitajika nguvu kubwa lakini kupeana taarifa kunahitajika moyo wa upendo tu,