Wanatoa mkopo kwa watumishi wa umma na watu wenye job security tu kwa maelezo yao. Ukienda ofisini kwao watakukadiria riba na utawapa vielelezo basi wanakupa mzigo. Nahisi riba yao inaongezeka kila mwaka.
Wanatoa mkopo kwa watumishi wa umma na watu wenye job security tu kwa maelezo yao. Ukienda ofisini kwao watakukadiria riba na utawapa vielelezo basi wanakupa mzigo. Nahisi riba yao inaongezeka kila mwaka.