Faida za lozi Almond

Hata Soko la Kisutu au mtaa wa Zanaki kwa wale wanaouza matunda kwenye corridor za maduka wanazo
Unajuwa kilo moja ya Lozi ni shilingi ngapi ya Tanzania? Huku nje nilipo mimi Kilo 1 ya Lozi aka (Almond) sawa na huko nyumbani Tanzania ni shilingi Elfu 25 sijuwi nyumbani kilo moja ya Lozi ni kiasi gani Mkuu?

 
Ukizihitaji hz nenda maduka ya kisunna kwenye misikiti
 
Reactions: PYD
Utumiaji wake upoje unatafuna hivo hivo au zinapikwa km Karanga
 
Tandika mskiti wa chihota yupo chinga anauza.

korosho na hizo almond.

kuna pakti za 2000 na 5000.

Nikiipata mamba yake nitaiweka hapa.

unapotaka kwenda ni vzr ukampigia kwanza.

ili kujiepushia usumbufu
 
Reactions: PYD
Lozi Almond kiswahili inaitwaje? au kwa utafiti wako waweza kuipata katika mchanganyiko wa kitu gani kama food suppliment ambayo ni rahisi kupatikana madukani?
Zipo solo la kisutu kilo 30000 kipimo kingine 9000 na 4500
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…