Eneo unalo ila hujasema upo wapi, kama ni nyanda za juu kusini, Mbeya Tukuyu, Njombe, Pwani, Kagera, Kigoma Kibondo, Panda tu usiogope ila zingatia mbegu bora.İpo mbegu ya miaka saba tu unavuna waone wakala wa misitu.
Kama ni maeneo hayo nakushauri upande na parachichi huzaa miaka 3-4 hutasubiri sana.