Fahamu kuhusu HISA

youngin

Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
17
Reaction score
15
Hisa ni nini?
Hisa ni sehemu ya umiliki wa kampuni. Hivyo hisa inawakilisha asilimia fulani ya umiliki katika kampuni. Kama kampuni ina hisa milioni moja na mwekezaji (mwanahisa) anamiliki hisa 100,000 mwekezaji huyu anamiliki 10% ya kampuni. Mwekezaji anayenunua hisa basi ananunua haki ya kumiliki kampuni.
 
Shukraan..endelea kutupa elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbona haya maswala ya hisa Kuna Uzi mods wameupin kabisa katika jukwaa hili la biashara ukiscroll juu kabisa kule
 
Watanzania sasa hivi ukiwaambia habari ya hisa hawataelewa maana VIKOBA vilishawapa elimu tofauti hivyo akiba wataita hisa, Amana wataita hisa, gawio wataita hisa, interest on saving wataita hisa....ni mchanganjo usioeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…