mashine ndio inasumbua mkuu, nilielekezwa mlimani city ila zilizokuwepo kipindi nimeenda zilikuwa ni zile za kujitengenezea mwenyewe nyumbani.. Je wadau vipi kuhusu machine za kutengenezea kwa hapa bongo zinapatikana wapi hasa?
Ili upate ushauri mzuri ni vyema ukasema ni wapi unaplan kuweka biashara yako, biashara ya popcorn ni biashara inayolenga sehemu maalum na wakati mwingine inaendana na matukio, ukienda na popcorn zako uwanja wa taifa siku ya mechi ya yanga na simba si sawa na ikiwa siku ya Ivory cost na taifa stars. kitu kingine cha muhimu ni wale wauzaji, usije kuweka machangu wastaafu kama wale wa century cinemax mlimani city ambao kazi yao ni kuchekea wanaume tu na kuwa wakali kwa wadada na watoto.Usisahau kuweka maujanja mengine kama flava maana kwa Tz ukiacha caramel hakuna zaidi...
350-450......zile kubwa kabisa zinaenda mpka milioni...inategemea unataka yenye ukubwa gani
Nataka kuanzisha kutengeneza popcorne naomba kujua bei ya mashine mpya. Asanteni
hata mimi nataka nisaidie nitapata wapi hizi machine za kutengeneza popcorn?
Asante kunijibu kaka
kama unataka mashine ndogo,ingieni amazon.co.uk,kwenye search,weka popcorn maker,angalieni bei,kama mpo interest,ni pm,nitawasaidia.kuna watu humu nimeshawahi kuwanunulia vitu,na kuwapostia,bila ya mimi kuongeza hela yoyote ile
samahani,mimi sio kaka.wewe ingia www.amazon.co.uk kwenye search,andika popcorn maker,bei utaziona mwenyewe.sitii faida ndio maana nimekwambia,ingia mwenyewe uonekaka if ur serious plz tuambie bei ya juu na ya chini au ya kati. kulia lia kila siku selikali imekali ajira na uzee unatuita ni umbumbu fanya hivyo kaka tunakuomba sana mkuu na mola atakujaaria.
Mkuu G12 asante sana kinacho nichanganya hizo bei hatujui kama ni za juml ama reja reja maana nahitaji kama mbili hivz za bei ya kawaida harafu hizo bei ni kama za huko huko nje je kama nahitaji kununua on line inawezekana? Nifahamishe mkuu au nawezg kuzipata hapa hapa dar? Pamoja sana mkuu tusaidie nadhani tupo weng tunaohitaji asante.
Mkuu G12 asante sana kinacho nichanganya hizo bei hatujui kama ni za juml ama reja reja maana nahitaji kama mbili hivz za bei ya kawaida harafu hizo bei ni kama za huko huko nje je kama nahitaji kununua on line inawezekana? Nifahamishe mkuu au nawezg kuzipata hapa hapa dar? Pamoja sana mkuu tusaidie nadhani tupo weng tunaohitaji asante.