Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 624
- 548
Habari
Excavator yaani kijiko kinauzwa kipo mkoani Iringa. Bei Tsh 50M. Kipo ktk hali nzuri ni cha kijapani imara
Kwa maelezo zaidi ya engine nk na attach card yake. Lakini ukitaka maelezo zaidi ya kiufundi wasiliana nami nikuunganishe na mmiliki. Mimi namfanyia tu udalali
Kuletwa Dar au mkoa wowote inawezekana. Ni mipango tu inapangwa
Nipigie 0758 308193. Kutokana na hizi mvua labda mtandao ukiwa down unaweza nitumia sma au watsap namba hiyo.
Excavator yaani kijiko kinauzwa kipo mkoani Iringa. Bei Tsh 50M. Kipo ktk hali nzuri ni cha kijapani imara
Kwa maelezo zaidi ya engine nk na attach card yake. Lakini ukitaka maelezo zaidi ya kiufundi wasiliana nami nikuunganishe na mmiliki. Mimi namfanyia tu udalali
Kuletwa Dar au mkoa wowote inawezekana. Ni mipango tu inapangwa
Nipigie 0758 308193. Kutokana na hizi mvua labda mtandao ukiwa down unaweza nitumia sma au watsap namba hiyo.