nurbert JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 1,887 Reaction score 428 Jun 3, 2013 #41 Baba V said: jomba originally ni wa ki xhulu kwa jina la Mbube Click to expand... Sawa Sawa Mkuu Nmekuelewa! nlikua sjawah Uskiaaaa
Baba V said: jomba originally ni wa ki xhulu kwa jina la Mbube Click to expand... Sawa Sawa Mkuu Nmekuelewa! nlikua sjawah Uskiaaaa
Ndekirhepva JF-Expert Member Joined May 18, 2012 Posts 371 Reaction score 44 Jun 3, 2013 #42 matwi said: anaitwa Asa ni msichana na wimbo unaitwa jailer .eeh swali la nyongeza....??[/Q Sio kila post lazma uchangie, nyingine zitizame tu vile watu wanachangia na ujifunze kitu Click to expand...
matwi said: anaitwa Asa ni msichana na wimbo unaitwa jailer .eeh swali la nyongeza....??[/Q Sio kila post lazma uchangie, nyingine zitizame tu vile watu wanachangia na ujifunze kitu Click to expand...
King Kong III Platinum Member Joined Oct 15, 2010 Posts 62,920 Reaction score 95,279 Dec 28, 2013 #43 Wadau kuna wimbo kama wa kisouth una melody kama hii kwa kiswahili "Kulala mezani hio nitalala usinawe" halafu kuna kama piano ya tii tilililiiii kulala mezani hio nitalala usinawe design kama yakina chicco hiv.
Wadau kuna wimbo kama wa kisouth una melody kama hii kwa kiswahili "Kulala mezani hio nitalala usinawe" halafu kuna kama piano ya tii tilililiiii kulala mezani hio nitalala usinawe design kama yakina chicco hiv.
Joeli JF-Expert Member Joined Apr 25, 2011 Posts 4,941 Reaction score 3,417 Dec 28, 2013 #44 kama una smartphone... shazam uwa inatambua nyimbo kibao hata za kiafrica na kukupa majibu ni wimbo gani na umeimbwa na nani
kama una smartphone... shazam uwa inatambua nyimbo kibao hata za kiafrica na kukupa majibu ni wimbo gani na umeimbwa na nani