Shimo kwa maana linakua linachimbwa na koleo au excavator?Mbona hujafafanua vizuri inahusiana vipi na kuwa na shimo ndefu
Matege ya aina ipi, yakutoka nje au ya kuingia ndani.Iyo nadharia huwaga naisikia sana hasahasa mitaani ukikaa hata vijiweni na washkaji maranyingi wanapenda kusema hiyo kitu kwamba wanawake wanaokuwa na utege basi wanakuwa na ile kitu ndefu sana. Kwa upande wangu huwaga sina cha kuchangia ikifikia story hiyo kwani sina experience ya kukutana na manzi mwenye utege sasa nimeona leo nilimwage kwa wajuzi wa mambo waje kutufahamisha kama hii kitu inaukweli ama ni fununu tu kama fununu zingine
Tunawaomba wanaojua na wenye uzoefu watuambie, wanawake njooni pia mtujuze kuna ukweli kuhusu hii kitu.
Matege yapi.mm mbona Mimi Sina?Kila binadamu ana matege sasa sijui unazungumzia matege gani?
😃😃😃Shimo kwa maana linakua linachimbwa na koleo au excavator?
Kwa hiyo miguu yako imenyooka kama moja?Matege yapi.mm mbona Mimi Sina?
Hapo nadhani kwa koleo nguvu nyingi zitatumika tunasema nguvu moyaaaa na kwa excavator hapo mziki ni kwny diesel full tank 2.Vyovyote vile elezea
Ninayo,kidogo lakiniWewe hauna matege yake ya kutoka nje