Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,558
Iyo nadharia huwaga naisikia sana hasahasa mitaani ukikaa hata vijiweni na washkaji maranyingi wanapenda kusema hiyo kitu kwamba wanawake wanaokuwa na utege basi wanakuwa na ile kitu ndefu sana.
Kwa upande wangu huwaga sina cha kuchangia ikifikia story hiyo kwani sina experience ya kukutana na manzi mwenye utege sasa nimeona leo nilimwage kwa wajuzi wa mambo waje kutufahamisha kama hii kitu inaukweli ama ni fununu tu kama fununu zingine
Tunawaomba wanaojua na wenye uzoefu watuambie, wanawake njooni pia mtujuze kuna ukweli kuhusu hii kitu.
Kwa upande wangu huwaga sina cha kuchangia ikifikia story hiyo kwani sina experience ya kukutana na manzi mwenye utege sasa nimeona leo nilimwage kwa wajuzi wa mambo waje kutufahamisha kama hii kitu inaukweli ama ni fununu tu kama fununu zingine
Tunawaomba wanaojua na wenye uzoefu watuambie, wanawake njooni pia mtujuze kuna ukweli kuhusu hii kitu.