Esther Bulaya: Nyakilanganyi Construction LTD ni akina nani hawa miaka 12 ya upigaji fedha za maji Bunda! Rais, Waziri Mkuu wote wakwama

Mmenikumbusha Mzee wa Kulialia alituasa kwamba Mafisadi wana Nguvu saana Tanzania....huku yakitoka chozi la u uchungu Bungeni!!

Kweli huu ni mfano wa antachabos!!
 
Huyo Nyakirang'ani hana record ya kumaliza contracts anazopewa ni mbabaishaji sana na ni a very corrupt person tabia ambayo ndio aliyomponzea Magesa Mulongo the former Mara RC.

Ila kwa hili la Bunda utakuwa ni mkakati wa Magufuli kupambana na wapinzani which is a very foolish exercise.
 
Unamaanisha Bunda imekuwa chini ya upinzani kwa muda wote wa kuanza kwa mradi?
Hapo tatizo linaonekana kuwa ni financier kabadilika wala siyo issues za siasa za vyama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiwaamini sana politicians.
Kama mjumbe alivyosema hapo awali. Ukiyatafakari malalamiko ya Mh. Mbunge utaona kuwa yeye anadhani tatizo liko kwa Mkandarasi. Alitakiwa aonyeshe/ asema kuwa mkandarasi kafanya kazi ya kiasi kadhaa na kishalipwa zaidi ila hatekelezi mradi na serikali inamuohopa, hapo ningemuelewa kidogo. Kwa mantiki ya kawaida inaonekana serikali ndiyo inadaiwa na mkandarasi maybe kutokana na financier kubadilika ama kujitoa
Mbunge hawezi kuongea bila uhakika, Atakuwa anafahamu vema nini kinafanyika kwa miaka yote 12

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkandarasi alilipwa na mpaka sasa yuko ndani kwa uhujumu uchumi mbunge anaongea bila kuwa na data za kutosha ingawa kweli mradi bado haujakamilika kutokana na mkandarasi huyo kutafuna fedha ila kwa serikali hii makini imewezeshwa kukamatwa na yuko ndani akiendelea na kesi ya uhujumu uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 





Unauhakika na unachoongea hebu msikilize tena Mh Mbunge Bulaya
 
Kwanini bado anaendelea kupata miradi?

Nikwasababu Viongozi wote watoa tenda,,wapo mfukoni mwake.
Nimesema huyu mjamaa akipata dili la bilioni moja,,,atahakikisha million mia tano amenunua serikali,yaani yupo radhi apate faida ndogo lakini tenda ziwe zake kila iitwapo leo.
 
Nyakirang'anyi constructions ltd , ni familia ya mwasisi mmoja . haigusiki na mama bado yupo , sasa unafikiri ataishije , jamaa alitumikia nchi kwa moyo wote hata ,kutuunganisha watanzania leo hii tunaongea lugha ya kiswahili tofauti na nchi za wenzetu . leo hii sisi sote ni ndugu . Hivyo ninyi mnaopiga kelele , mnatakiwa kunyamaza kabisa . afterall kazi inafanyika , hakuna kisicho fanyika .
 

Muasisi hilo ni suala lake binafsi. Kama amepewa kazi na hajakamilisha, hapo ni suala la uwajibikaji na sio yeye ni nani. Watu wanataka maji, hivyo hana Audi kutimiza hill kwanza.
 
Ester Bulaya ni nani huyu!! Miaka mitano uko bungeni, umewasaidia nini wapiga kura wako??!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo mmiliki wake anaitwa Mauza, huyo ni tapeli mkubwa. Ina maana hata mjomba kamshindwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni Mkazi wa Bunda naomba kumuhakikishia Mh Bulaya kuwa tunafahamu namna CCM inavyomuhujumu hapa Bunda ila Sisi tutakufa na Bulaya Bunda
CCM inamuhujumu mh Esther Bulaya asipate mshahara wake Bungeni au inahujumu wananchi wa Tanzania wasipate maendeleo jimboni Bunda?
Kama hujuma ufanyika kwa wananchi wa Bunda basi CCM siyo chama tena na usilitaje kwa kuanza na jina chama cha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…