Kuna jamaa alikua analewa vibaya, na kurudi home usiku mkubwa.
Na akilala anakoroma
Akianza kukoroma, mshikaji jiran anasukuma mlango na kuingia ndani.
Yeye na mke wa jamaa wanafanya matusi kwenye kochi mpaka raundi tatu.
wakimaliza jamaa anatoka, mke anafunga mlango anarudi chumbani kulala kimyaa.