Epuka Pombe na Sigara

1Africa54

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2025
Posts
462
Reaction score
540
1. POMBE
Madhara πŸ‘‰maradhi ya moyo
πŸ‘‰ Saratani(Cancer)
πŸ‘‰ Afya ya akili
πŸ‘‰ Inapunguza kuaminika
πŸ‘‰ Upungufu wa nguvu za. kiume
πŸ‘‰ Hatari kwa mama mja mzito na afya ya mtoto tumboni
πŸ‘‰ Hupelekea ajali
πŸ‘‰uhalifu na ukatili

2. Sigara🚬🚭
Madhara: 😑saratani(Cancer)
😠 Maradhi ya moyo
😭 Madhara Kwa mama mja mzito na afya ya mtoto tumboni
Nk
 
Punguza umbea basi dah.
 
Kuna jamaa alikua analewa vibaya, na kurudi home usiku mkubwa.
Na akilala anakoroma
Akianza kukoroma, mshikaji jiran anasukuma mlango na kuingia ndani.
Yeye na mke wa jamaa wanafanya matusi kwenye kochi mpaka raundi tatu.
wakimaliza jamaa anatoka, mke anafunga mlango anarudi chumbani kulala kimyaa.
 
Hao nao wakajiona wana akili kumpita mlevi aliye kwenye starehe zake ?


Umeicheki movie ya Norbit ? Eddie murphy ?


mdau mke wangu kaichape tu no problem .
 
Daah, dunia inanuka uovu hii mkuu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…