Elinanho
Member
- May 2, 2011
- 13
- 0
Nyumba inauzwa Tabata.
Mahali: amani, Liwiti.
Sifa za nyumba:
•Ina vyumba vya 4 na sebule
•Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa.
•Ina umeme, maji pamoja.
•Ina sehemu kubwa ya nje inayotosha kufulia, kuanika nguo na kupumzika.
•ipo na njia kubwa ya mtaa kuelekea kitambaa cheupe na chang"ombe etc
Ukubwa wa Eneo: 22*24.
Nyaraka: Hati ya serikali ya mtaa.
Bei: Tzs Milioni 60. Maongezi yanaruhusiwa.
Hakuna gharama ya kuona eneo, mmiliki.
Mawasiliano: 0714 996493 au 0768 197148
Mahali: amani, Liwiti.
Sifa za nyumba:
•Ina vyumba vya 4 na sebule
•Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa.
•Ina umeme, maji pamoja.
•Ina sehemu kubwa ya nje inayotosha kufulia, kuanika nguo na kupumzika.
•ipo na njia kubwa ya mtaa kuelekea kitambaa cheupe na chang"ombe etc
Ukubwa wa Eneo: 22*24.
Nyaraka: Hati ya serikali ya mtaa.
Bei: Tzs Milioni 60. Maongezi yanaruhusiwa.
Hakuna gharama ya kuona eneo, mmiliki.
Mawasiliano: 0714 996493 au 0768 197148