Plot4Sale Eneo linauzwa Makambako

umucyo

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2020
Posts
846
Reaction score
736
Ndugu wa Wana Jamii forams, habarini za za Leo?

Kama nilivyo taja hapo juu , eneo liko Makambako. Km 12 Toka stand kuu y a Makambako.
km 4toka barabara ya kuelekea Songea.

Ukubwa acre 4
Bei @1,000,000tsh/=
Eneo linafaa kwa kufuga
Na kilimo cha mda mfupi.
Linaweza kutumika kwa kukata viwanja.

Wasiliana na mhusika kwa
Namba 0747834450/0683277204
 
Songeya ndio wapi huko Tena wakulungwa?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…