T tango22 Member Joined Apr 30, 2013 Posts 11 Reaction score 3 May 13, 2013 #1 Je nini suluhisho dhidi ya ukosefu wa kazi kwa watanzania wengi,nini kifanyike.
mwaikenda JF-Expert Member Joined Mar 26, 2011 Posts 903 Reaction score 144 May 13, 2013 #2 Tubadili mfumo na sura kama za kina mwigulu na nchimbi na wengine wote wenye mtazamo kama wa serukamba
Tubadili mfumo na sura kama za kina mwigulu na nchimbi na wengine wote wenye mtazamo kama wa serukamba
B Bulesi Platinum Member Joined May 14, 2008 Posts 14,741 Reaction score 14,922 May 13, 2013 #3 Mwambieni Kikwete na wapambe wake warudishe hizo pesa walizoficha ughaibuni ikiwemo USWISS ili zirudishwe huku nyumbani ziwekezwe na vijana watapata ajira!!!
Mwambieni Kikwete na wapambe wake warudishe hizo pesa walizoficha ughaibuni ikiwemo USWISS ili zirudishwe huku nyumbani ziwekezwe na vijana watapata ajira!!!
MD25 JF-Expert Member Joined Jan 28, 2012 Posts 3,074 Reaction score 1,030 May 13, 2013 #4 Suluhisho la kwanza ni kuitoa ccm madarakani, alafu ndio tuangalie cha kufanya, otherwize ni kutwanga maji kwenye kinu...
Suluhisho la kwanza ni kuitoa ccm madarakani, alafu ndio tuangalie cha kufanya, otherwize ni kutwanga maji kwenye kinu...