Mama Debora
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,482
- 2,581
Kwangu mimi, hakuna na hakujawahi kuwepo mpiga kandanda bora duniani kama Messi.
Akija kukuchumbia uwe mke wa pili utakubali?
Kwangu mimi, hakuna na hakujawahi kuwepo mpiga kandanda bora duniani kama Messi.
Aisee, tafadhali tuheshimiane!Akija kukuchumbia uwe mke wa pili utakubali?
Aisee, tafadhali tuheshimiane!
Hivi, nimeshawahi kukutusi ama kukukejeli kwa namna yoyote ile tangu umejiunga na jamii forums?
Hivi ile nayo ilikuwa beef au mgk alikuwa anatafuta kung'ara zaidi ula dogo anajitahidi.Kwani beef yake na MGK imeishia?
Wewe unanitafutia sifa mbaya.Hapa tusi liko wapi sasa?
Wewe unanitafutia sifa mbaya.
Mimi natumia majina yangu halisi humu ndani.
Kitu cha msingi nilichoamua kukifanya ni kukuweka katika "ignore list" ili uendelee kuwaquote wajinga wenzako.
Kwaheri.
MGK ni rapa mzuri lakini ilikuwa ni beef siumeona mzee akaja na kill shot kumjibu.Hivi ile nayo ilikuwa beef au mgk alikuwa anatafuta kung'ara zaidi ula dogo anajitahidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi napenda tu anavyorap
Kuna ule wimbo Im Sorry Mama sijui unaitwa hivo naupenda sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Naipara sana hiyo ngoma ,MGK ni rapa mzuri lakini ilikuwa ni beef siumeona mzee akaja na kill shot kumjibu.
2pac ni mtu mwingine ww.....Nna uhakika hata 2Pac haingizi mguu kwa Eminem🚶🚶
Yani sina cha kucomment,kwani hakuna nalofaham zaidi ya I'm not Afraid