Embroidery (Darizi) na Kuprint

Kazi za Darizi zote Mzilete Chimbo na bei zetu ni ndogo sana
 
Kofia tunafanya Dalizi na Screen Printing
 
Aisee mkurugenzi, hivi nikija ofisini kwako unaweza kunisaidia kupata ABC ya namna bora ya kupata hizi mashine kubwa kutoka nje? Mfano hii mashine ya kudarizi, na ile ya kuprint mabango.

Mimi niko Mkoani.
Karibuu
 
Karibuni sana kwa Huduma za Printing na Darizi za Tshirts, Kofia, Shati....

Bei zetu ni ndogo sana huwezi kuzipata sehemu nyingine yeyote.

Tupigie au Njoo Whatsapp
0759413270.

Tunapokea order zile za Large Quantity hata kuanzia 1,000PCS na kuendelea.
 
Tunajali vitu vitatu tu
1. Ubora - Kazi zetu tunazifanya kwa Ubora Mkubwa sana
2. Muda - Tunajali muda sana ili uipate kazi yako kwa Wakati bila kuchelewa.
3. Bei - Bei zetu ni ndogo sana zitakazo endana ma Budget yako.

Tutafute upate kilicho Bora.

0759414270
Calls / Whatsapp
 
High quality
Affordable Price
Work on time

0759413270
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…