Elimu ya msingi

Aaron Athanas

Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
13
Reaction score
6
Ivi ni kweli serikali imeamua kujitwisha kaulimbiu ya matokeo makubwa bila kuandaa mazingira ,vitendea kazi na kuwakwamua watenda kazi,,. sasa matokeo kubwa yanakuja vip kama hukujenga msingi? au ndiyo kulazimisha. ? maana hakuna sekta yenye mazingira mabovu kama elimu ya msingi,,zichunguzeni shule za msingi za serikali au ndiyo big worst results
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…