Eka 10 zinauzwa Ndani ya Dsm

Adilinanduguze2

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
1,441
Reaction score
1,975
Kuna eneo, linafaa kwa ujenzi wa shule
Kigamboni, Chekeni Mwasonga, Linauzwa
Umbali =29km tokea ferry
Ukubwa = Takriban eka 10
Umeme = Nguzo 6 unafikia
Maendelezo= Kuna banda la vyumba 2 na frem ya duka
Kuna kisima cha maji matamu yanapatikana
Banda lishafanyiwa wiring
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…