Majanga..
Serikali imesema kuanzia mwaka huu wanafunzi wa kidato cha nne wanaopata daraja la nne hawataruhusiwa kusomea ualimu. Watakao ruhusiwa ni wale wa daraja la kwanza hadi la tatu.
Source: ITV.
Mimi kwa upande wangu nlisoma QT, na mtihani wa form four mwaka 2013 nilipata D 2, C 1 na E 4, hiyo ni division four points 40,
Chuo gani naweza kusoma wadau msaada tafadhali.