Dunia ilipo ni hapa

MGOGO27

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2016
Posts
459
Reaction score
218
Naomba tuwe wakweli kuhusu huu usafiri japo wengi hautuhusu kwa maana hatupandagi lakini tunayonafasi ya kutia neno

 
Sijui umeelewa kinachofanyika sasa?
 
Unanunua Ndege inayoshindana mwendo na Bajaji then unajisifu mpaka Dunia nzima inajua.
 
Unanunua Ndege inayoshindana mwendo na Bajaji then unajisifu mpaka Dunia nzima inajua.
Watu hamna jema. Hivi unajua kuwa hiyo ndege zikianza safari ya kwenda mwanza na ndege ya fastjet zinatofautiana dakika 15 tu kufika mwanza.
 
Unanunua Ndege inayoshindana mwendo na Bajaji then unajisifu mpaka Dunia nzima inajua.
Ndo mwanzo ndugu yangu tutafka huko c unajua hatua za ukuaji kw mtoto,kuna kukaa,kutambaa,kucmama then kutembea huku akijfunza kuongea..
 
Kuna ndege zimewekwa hapo juu ambazo hazitengenezwi tena,sasa unalinganisha Ni hii Q400 mpya?,harafu ubora wa ndege siyo ukubwa wa umbo!,.
 
Panga boi kiasi zinakosa utulivu angani, kama umepanda panga boi for the first time unaweza sema safari ya ndege haina utulivu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…